Ukaribisho
 
                            
                                Dkt. Mfaume Salum Kibwana
                                Mganga Mfawidhi
                            
                                Karibu Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Geita kwa huduma bora kutoka kwa madaktari wabobezi na wazoefu.Katika tovuti hii utapata taarifa muhimu sana, za uhakika kuhusu huduma zetu. Mimi na watumishi wote wa hospitali hii tupo tayari kabisa kukuhudumia, hivyo karibu upate huduma zetu za matibabu ya kawaida na ya kibingwa.




